Mkurugenzi Mkuu MSD, Afanya Mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA (CEO)
Kupitia mkutano huo Mavere amebainisha changamoto mbalimbali zinazoikabili Bohari ya Dawa katika masuala ya manunuzi na namna bora ya kuzitatua.
Dhamira yetu: Kufanya bidhaa bora za afya kufikiwa na vituo vyote vya afya vya umma nchini Tanzania.