MSD Yatoa Mafunzo kwa Wataalamu wa Vifaa Tiba na Maabara Nchini.
Mafunzo ya siku tatu kwa wahandisi wa vifaa tiba na wataalam wa maabara nchini yamehitimishwa leo mkoani Morogoro.
Dhamira yetu: Kufanya bidhaa bora za afya kufikiwa na vituo vyote vya afya vya umma nchini Tanzania.