Serikali Inaendelea Kusaidia Ujenzi wa Viwanda vya MSD vya Dawa na Vifaa Tiba.
Waziri Ummy aliwaeleza wajumbe wa Bodi kuwa watapimwa kwa kuangalia hali halisi ya upatikanaji wa bidhaa za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.
Dhamira yetu: Kufanya bidhaa bora za afya kufikiwa na vituo vyote vya afya vya umma nchini Tanzania.