Mkurugenzi Mkuu MSD, Abainisha Mafanikio ya MSD Chini ya Awamu ya Sita
DODOMA:
Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Bw. Mavere Tukai leo tarehe 17/10/2022amekutana na waandishi wa habari Mkoani Dodoma na kutoamrejesho juu ya mafanikio ya Bohari ya Dawa (MSD) chini yaserikali ya awamu ya sita, inayoongozwaMhe. Samia Suluhu Hassan.
Bw. Mavere amesema katika mwaka wa fedha 2022/23,MSD imee ndelea kufanya maboresho ya kiutendaji kamailivyoelekezwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku mabadiliko hayoyakilenga kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afyapamoja na utawala bora.